Usajili wa Kwanza Man United Waiva: Ederson Kufanya Vipimo vya Afya Leo, Kinda wa Newcastle Naye Awashika Sikio
Manchester United inakaribia kukamilisha usajili wake wa kwanza wa majira ya joto huku ripoti zikitaja kuwa kiungo wa Atalanta, Ederson, anafanyiwa vipimo vya afya leo mjini New York, huku wakimvizia pia Lewis Hall wa Newcastle.
#manchesterunited
#ederson
#lewishall
#newcastleunited
#atalanta
#usajili
Soma zaidi